Khadja Nin - Sina mali, sina deni текст песни

Все тексты песен Khadja Nin

Kwa baraka
Mimi napona
Kabisa, ni hajabu
Sina mwili tena
Niko sawa upepo
Mimi masikini
Sina mali mali, sina deni
Mali yangu baba
Ina nyesha kama mvua
Ina ruka kama ndege
Ina cheka kama mtoto


Ahiya, mam'ahiya
Sina haja,ya kitu,
mimi napona
I'm free, kama maji
Anatembeya mpaka katika pori
Mimi, mi masikini
Sina mali mali, sina deni
Mali yangu baba
Ina ota kama maua
Ina pita kama nyota
Ina waka kama jua


Pole pole mama

Wakati wangu umefika, mimi napona
I'm free, kama hewa
Ina ingiya mpaka fasi inapenda
Mimi, ni masikini
Sina mali mali, sina deni
Mali yangu baba
Ina ona kama macho
Ina waka kama moto
Ina lia kama ngoma

I'm free kama maji
Ana tempaka mpaka kati ya pori


Kama hewa, kama macho kama nyota, kama maji
Kama mimi leo, mimi napona


I'm free, I'm free
Kama mimi leo, mimi napona


Ahiya Mam'ahiya
sina mali, Mungu, sina deni

ДОБАВИТЬ ТЕКСТ В ЛИЧНЫЙ СПИСОК

Комментарии

Имя:
Сообщение:

Слушать песню «Sina mali, sina deni»

Смотреть клип «Sina mali, sina deni»

Смотреть клип на песню Khadja Nin - Sina mali, sina deni

Популярные тексты Khadja Nin

1 Mama
2 Damu Ya Salaam
3 Sina Mali, Sina Deni (Free)